UNHCR Tanzania
@UNHCRTanzania
“Mimi ni mkimbizi wa Ki-Congo na nafanya kazi nje ya kambi, nilifuata sheria Namba 9 ya 1998 ambayo inaongelea mkimbizi yeyote ambaye ana fani yoyote anaweza kufanya kazi na nilienda Idara ya Wakimbizi Wizara ya Mambo ya Ndani nikapewa kibali Naishukuru Serikali ya Tanzania https://t.co/0Xhrf4arsl
Metadata
Published to Twitter on: 20/06/2020
Archived on: 13/02/2023
Original URL (may no longer be available): https://twitter.com/UNHCRTanzania/status/1274250947770945536