UNHCR Tanzania
@UNHCRTanzania
Ndoa inaweza kumfanya mtu akawa mkimbizi. Kuna mambo yakitokea kwenye ndoa mfano unyanyasaji wa wanawake kwenye jamii hasa jamii zenye mila potofu kama ukeketaji unaweza kumpelekea mwanamke akawa mkimbizi. George Kuchio UNHCR #WorldRefugeeDay https://t.co/fwSrLWSml6
Metadata
Published to Twitter on: 20/06/2020
Archived on: 13/02/2023
Original URL (may no longer be available): https://twitter.com/UNHCRTanzania/status/1274234072932499456